iqna

IQNA

Abdul Basit
IQNA - Marehemu qari wa Misri Sheikh Abdul Basit Abdul Samad anajulikana katika ulimwengu wa Kiislamu kama mmoja wa wasomaji wakubwa wa Qur'ani Tukufu
Habari ID: 3478734    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/25

Wasomaji maarufu wa Qur'ani Tukufu / 16
TEHRAN (IQNA) - Baadhi ya maqarii au wasomaji Qur'ani Tukufu hulenga tu kuwa Lahni nzuri na Maqamat au mbinu za qiraa lakini katika upande wa pili usomaji wa Qur'ani Tukufu wa Ustadh Abdul Basit Abdul Samad ulikuwa rahisi lakini wakati huo huo wa kiroho, wenye ufanisi na kiufundi.
Habari ID: 3476280    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/21

Usomaji Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Ifuatayo ni klipi ya zamani ya marhum Qarii maarufu wa Qur'ani Tukufu wa Misri Ustadh Abdul Basit Abdul Samad akisoma aya za 103-104 za Sura Al-Imran.
Habari ID: 3475999    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/28

Msomaji Qur'ani wa Misri
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Mohammed Buhairi Abdul Fattah ni qarii wa Kimisri ambaye usomaji wake wa Qur’ani Tukufu unawakumbusha wasikilizaji enzi nzuri ya usomaji wa Qur’ani nchini humo za Sheikh Abdul Basit Abdul Samad.
Habari ID: 3475737    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/05

TEHRAN (IQNA)-Mvulana Mmisri mwenye umri wa miaka 9 ana kipaji cha kipekee cha kusoma Qur'ani Tukufu kiasi kwamba sasa amepewa lakabu ya ' Abdul Basit Mdogo".
Habari ID: 3475279    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/22

TEHRAN (IQNA) – Mwanae qarii mashuhuri wa Qur’ani kutoka Misri Sheikh Abdul Basit Abdulswamad amesema baba yake alikuwa na sauti ambayo mbali na Waislamu inawavutia pia wasiokuwa Waislamu.
Habari ID: 3474626    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/01

Leo katika historia
TEHRAN (IQNA)- atika siku kama ya leo miaka 33 iliyopita, aliaga dunia katika mji wa Cairo Misri, Sheikh Abdul-Basit Abdul-Samad, mmoja wa waalimu na maqarii wakubwa wa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3474621    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/30

TEHRAN (IQNA)- Klipu ya Ustadh Abdul-Basit Abdul-Swamad akisoma aya za Sura Ash-Shu’araa katika Qur’ani Tukufu imeseambazwa katika mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3473400    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/27

TEHRAN (IQNA)- Familia ya qarii maarufu zaidi wa Qur’ani Tukufu wa Misri, Sheikh Abdul-Basit Abdul-Swamad imeitunuku Radio ya Qur’ani ya Misri kanda za qiraa ya qarii huyo.
Habari ID: 3473384    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/22

TEHRAN (IQNA) – Klipu nadra ya video imesambaa katika mitandao ya kijamii ikimuonyesha qarii mashuhuri wa Misri marhum Sheikh Abdul Basit Abdul Samad akisema aya za Surah Fussilat.
Habari ID: 3473274    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/19

TEHRAN (IQNA)- Klipu iliyopo hapa chini ni ya qarii maarufu wa Misri Sheikh Abdul Basit Abdul Samad akisoma Surah Al Qadr ya Qur'ani Tukufu mwaka 1965 katika Msikiti Imam Hussein (AS) mjini Cairo.
Habari ID: 3473212    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/28

TEHRAN (IQNA)- Qari maarufu wa Misri, marhum Sheikh Abdul Basit Abdul Samad alisafiri katika nchi nyingi duniani kusoma Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3473033    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/04

TEHRAN (IQNA) – Sheikh Tariq Abdul Basit Abdul Samad, mwanae qarii mashuhuri wa Qur’ani Tukufu nchini Misri marhum Sheikh Abdul Basit Abdul Samad, hivi karibuni amesoma aya za Qur’ani Tukufu kuhusu Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472739    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/06

TEHRAN (IQNA)- Hivi karibuni klipu ya video ya qiraa ya Qur’ani Tukufu ya Ustadh Abdul Basit Abdul Samad imesambaa katika intaneti.
Habari ID: 3472698    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/24